MWANAKIJIJI USO KWA USO NA RAIS MAGUFULI
Mkazi wa Jiji la Dar es Salaam, Omar Ramadhan akiwa amejawa na furaha baada ya kusalimiana na Rais John Magufuli na mkewe Janeth juzi kwenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo Barabara ya Kilwa wilayani Temeke yanakofanyika Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara (DITF). Picha ya Ikulu
Labels: Biashara
0 Comments:
Post a Comment
Nawapenda
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home