Sunday, 3 July 2016

SUMAYE: NCHI IKIVURUGIKA AKUNA ATAKAYESALIMIKA, TUOMBE


Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Fredrick Sumaye amewataka waumini wa dini zote nchini kuendelea kuiombea nchi iwe na amani kwani ikivurugika hakuna atakayesalimika huku akilitaka taifa kutenda mambo mema yatakayowanufaisha watanzania wote kwa kuwapa haki zinazostahili.

Toa maoni yako.

Labels:

0 Comments:

Post a Comment

Nawapenda

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home