HAYA NDIO MAJIBU YALIOPATIKANA SIKU YA ONGEZEKO LA VAT YA 18% KATIKA HUDUMA ZA KIBENKI
Serikali iliagiza kqa mamlaka husika Ifikapo tarehe moja mwezi Wa saba wataanza kukata vat ya asilimia 18 katika Huduma za kifadha katika mabenk. Ilipofika tarehe hiyo mabenki yalituma ujumbe mfupi kwa Wateja wao wakiwafahamisha juu ya ongezeko la tozo hilo la asimimia 18.
Wakati zoezi hilo la kuwatumia ujumbe Wateja likiendelee ndipo mteja wa NMB alipokosa ustahimilivu kwa ujumbe alioupokwa kutoka kwa NMB kuhusu ongezeko hilo na kuamua kuwajibu kama ifuatavyo...
Fatilia hapa chini
Labels: Udaku
0 Comments:
Post a Comment
Nawapenda
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home