AJIRA AJARI AJARI CITY BUS ZAGONGANA ZAIDI YA WATU 15 WAPOTEZA MAISHA PAPO HAPO
Ajari yahusisha CITY BUS imegongana uso kwa uso Na CITY BUS iliyokuwa inatokea Mwanza. Zote kampuni moja, zaidi ya watu kumi Na 15 wamefariki papo hapo.
Hivyo jaribu kuwasiliana na ndugu yako Kama alikuwa anasafiri kwenda Dar kutokea Mwanza Na kwenda Mwanza kutokea Dar.
Kwa heshima na tahadhima siwezi kuweka picha zote kwani Ni tukio baya kupita kiasi. Ajari hiyo imetokea maeneo ya baada ya kutoka wneo linaloitwa bahi kwa mbele kidogo.
Kazi ya Mungu haina makosa.
Labels: Breaking News
0 Comments:
Post a Comment
Nawapenda
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home