KIMENUKA...!!! WOLPER AUMIZWA TENA, AWEKA WAZI MWENYEWE ASEMA SASA HUU NI UDHARIRISHAJI
Msanii wa filamu Jacqueline Wolper ameumizwa na taarifa iliyoandikwa katika gazeti la udaku la Sani ikiwa na kichwa cha habari ‘Wolper abakwa na msanii wa Diamond’.
Mwigizaji huyo mahiri ambaye kwa sasa anatoka kimapenzi na msanii kutoka WCB, Harmonize, ameonyesha kuchukizwa na kitendo hicho na kuamua kuwashtaki kwa Mkuu wa mkoa wa Dar es saalam, Paul Makonda.
Kupitia instagram, Wopler ameandia:
I am so sad kwakweliHii sio kuniabisha mimi tu, ni kuaibisha na wanawake wenzangu, sijui kwanini magazeti ya kibongo yanatumia Nguvu nyingi kushusha hadhi ya wasanii wa kike haswa.. Nyie SANI no wonder mmepotea katika soko.. Hivi mlivyokua mnachapa mmefkiria kuna wadogo zangu wanasoma?? Au mama angu na baba yangu!Naandika kwa uchungu kwakua najua ni limtu limekosa kazi ya kutumia kipaji chake na karama yake vyema linaishia kutumia kwa kuniharibia maisha yangu… Tena front page? Tunafany mangapi mazuri hatuingii page ya kwanza hata siku moja,?! Kesho kutwa nafungua biashara mtaona kama wataandika kituIla kwenye ujinga wa kutunga ndo wakwaza, Si mmeamua kuniandika mimi hivi!??!, na kila siku mnafanya hivi. My loves embu nisaidieni niwaambie nini cha zaidi wauaji kama hawa. Kuna uuaji wa aina nyingi… Hata maneno huua jamani, sisi pia tu a mioyoDah!BIG SHAME ON YOU GUYSKuanzia alietunga stori, alieidhinisha ichapishwe na mwenye gazetiKwanini Mh @paulmakonda hawa wasiwe wanapigwa faini au hata kupelekwa mahakamani?? Manake msamaha hautoshiWanaharibu kabisa maana ya vyombo vya habariPetty and sadStupid
Labels: Udaku
0 Comments:
Post a Comment
Nawapenda
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home